Featured
Loading...

Mandla Mandela aslimu na kuoa mke wa nne

Mjukuu wa kiongozi mwanzilishi wa Afrika Kusini Nelson Mandela , Mandla, 42, ameslimu na kuoa mke wa nne ambaye muislamu.
Image copyrightMandlaMandela
Image captionMjukuu wa kiongozi mwanzilishi wa Afrika Kusini Nelson Mandela , Mandla, 42, ameslimu na kuoa mke wa nne
Mandla alifunga ndoa yake nne kwa bi Rabia Clarke katika msikiti mmoja mjini Cape Town Afrika Kusini mwishoni mwa juma.
Chifu huyo wa kabila la Mvezo ambaye pia ni mbunge alitoa taarifa akiishukuru familia ya Rabia kwa kumruhusu afunge ndoa na mwana wao.
Image copyrightMandla Mandela
Image captionMandla Mandela aslimu na kuoa mke wa nne
''natoa shukrani kubwa kwa familia ya Rabia kwa kunikaribisha kwa dini ya kiislamu''
Video imeonekana katika mitandao ya kijamii inayomuonesha mrithi huyo wa kiti cha babu yake akiikariri ''Allah Akbar'' maanake ''Mungu ni mkubwa na hakuna aliye na uwezo zaidi yake''
Image c
Shekh Ibrahim Gabriel aliyeendesha nikaa hiyo katika msikiti wa Kensington siku ya Jumamosi alithibitisha kuwa Mandla alislimu mwaka uliopita na kuwa ndoa hiyo iliendeshwa kwa misingi ya sharia ya kiislamu.
Watumizi wengi wa mitandao ya kijamii walihoji iwapo tofauti yao wawili itaruhusu ndoa hiyo kusimama.

MAAJABU YA MTANDAONI BOFYA HAPO CHINI HUTAAMINI MACHO YAKO.

ABOUT PRINCE BEWISA: PRINCE BEWISA BLOG is an independent organization which belongs to Bewisa Multimedia and Communication (BMC Media). Prince Bewisa was officially established on September 25, 2013 for the purpose of publishing Social contents that benefits to every visitor and community in general. It’s social blog for News, Entertainments, Education, Sports, Articles, and Business.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright 2025 UHURU WA MAWAZO | Designed By Code Nirvana
Back To Top