Featured
Loading...

Wizara ya fedha imeipatia idara ya mahakama Sh bilioni 12.3 kuboresha utendaji kazi.


Wizara ya fedha imetimiza ahadi ya rais Dr. John Magufuli aliyotoa siku nne zilizopita kwa idara ya mahakama wa kuipatia idara hiyo shilingi bilioni 12.3 ili ziweze kusaidia uendeshaji wa mahakama nchini hasa usikilizaji wa kesi zinazohusiana na kodi.
Fedha hizo zimekabidhiwa kwa idara ya mahakama na waziri wa fedha na mipango Dr.Philip Mpango ambapo amesema serikali inatumaini utendaji kazi wa mahakama sasa utafanyika kwa kasi zaidi.

MAAJABU YA MTANDAONI BOFYA HAPO CHINI HUTAAMINI MACHO YAKO.

ABOUT PRINCE BEWISA: PRINCE BEWISA BLOG is an independent organization which belongs to Bewisa Multimedia and Communication (BMC Media). Prince Bewisa was officially established on September 25, 2013 for the purpose of publishing Social contents that benefits to every visitor and community in general. It’s social blog for News, Entertainments, Education, Sports, Articles, and Business.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UHURU WA MAWAZO | Designed By Code Nirvana
Back To Top