Featured
Loading...

Zari: Sina Haja ya Kupima DNA,Tiffah ni Mtoto wa Diamond

zari11
Kwa wiki kadhaa kwenye kwenye mtandao wa Instagram kumekuwa na majibishano ya vijembe kati na Wema Sepetu na Zari hasa kuhusiana na uhalali wa mtoto wa Tiffah kama ni wa Diamond. Zari amepiga stori na @cloudsfmtz moja kwa moja kutoka Sauz.
‘’Ngoja nikwambie kitu mimi ni mzazi ni muda mrefu Wema na timu yake wamekuwa wakimsema mtoto wangu…Mara Oooh Tiffah Katunzi…Tiffah Ivan..Sasa ninachoshangaa Wema hayupo na Diamond sasa mambo ya Tiffah yanamuhusu nini? Haya hata kama mtoto ni mtoto wa hao watu wanaowataja yeye na ‘team’ yake inawahusu nini?,’’Zari.
‘’Yeye sio familia ya Diamond amebaki kuwa ‘ex’ kama akina Jokate,Wolper wote wametulia wanafanya mambo yao,kwanini Wema anatuma watu wamatukane mtoto wangu kuwa angekuwa mzuri tungehama mjini,mara mtoto mwenyewe mbaya,Zombi nimewavumilia sana ndio maana nikawajibu,’’Zari.
‘’Mbona wao wanafake maisha yao kuanzia magari,nyumba ,atafute kazi afanye au a’promote’ lipstick zake ..’No need for DNA Tiffah ni wa Diamond …Nimefunga mjadala,’’Zari.

MAAJABU YA MTANDAONI BOFYA HAPO CHINI HUTAAMINI MACHO YAKO.

ABOUT PRINCE BEWISA: PRINCE BEWISA BLOG is an independent organization which belongs to Bewisa Multimedia and Communication (BMC Media). Prince Bewisa was officially established on September 25, 2013 for the purpose of publishing Social contents that benefits to every visitor and community in general. It’s social blog for News, Entertainments, Education, Sports, Articles, and Business.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UHURU WA MAWAZO | Designed By Code Nirvana
Back To Top