Featured
Loading...

Mugabe: 'Mtakiona' Trump

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amewaambia maseneta wa Marekani waliozuru taifa hilo kwamba watajutia kutofanya urafiki naye iwapo Donald Trump atachaguliwa kuwa rais katika uchaguzi wa mwezi Novemba. Maseneta hao Chris Coons na Adam Schiff waliambia...

Programu Ya Kampeni Za Hillary Clinton Yadukuliwa

Maafisa wa upelelezi nchini Marekani wamesema kuwa programu ya komputa inayotumiwa na jopo linalosimamia kampeni ya Bi Hillary Clinton imedukuliwa. Mameneja wanaosimamia kampeni ya Bi Clinton walisema kuwa wadukuzi hao wameingilia mawasiliano katika...

Malik Nduguye Obama kumpigia kura Donald Trump

                    Malik Obama alikutana na Obama mara ya kwanza 1985. Nduguye wa kambo wa Rais wa Marekani Barack Obama, Malik, ametangaza kwamba atampigia...

Programu Za Vyuo Vikuu Ambazo Hazijasajiliwa Na TCU Na NACTE Kufutwa

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Bi. Maimuna Tarishi ameitaka Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE)   kufuta programu zinazotolewa na vyuo vikuu hapa nchini...

JWTZ Wapo Tayari Kukabiliana Na Ugaidi Afrika

Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesema lipo tayari kukabiliana na ugaidi nchini na kwingineko barani Afrika.  Kwa wiki mbili mfululizo, askari wa JWTZ waliungana na majeshi ya nchi nyingine nane kufanya mafunzo maalumu ya kukabiliana...

Nyayo za Lowasa Zinaweza kutikisa Kikao cha CCM Dodoma

Wakati CCM ikijiandaa kumkabidhi Rais John Magufuli uenyekiti, suala la masalia ya Edward Lowassa linaweza kuchukua nafasi kubwa katika vikao vitatu vya juu vinavyofanyika kwa mara ya kwanza tangu kumalizika Uchaguzi Mkuu mwaka jana.  Ni dhahiri...
Older Posts
© Copyright 2025 UHURU WA MAWAZO | Designed By Code Nirvana
Back To Top